Wednesday, June 27, 2012

Maonyesho ya Sherehe za Utoaji Ruzuku kwa Wajasiliamali yanavyoendelea katika Viwanja vya Mnazi Mmoja .

 Bango la  Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania TPSF, likiwa limewekwa nje ya viwanja vya Mnazi Mmoja kuashiria sherehe za Utowaji wa Ruzuku kwa wajasiliamali.
 Khadija Design Textile and Hand
 Mjasiliamali kutoka  Masai mkoa ni  Mtwara  Benedetha Ndemanga wa Kampuni ya Hand Craft akifunga korosho katika mifuko yake katika Maonyeshona sherehe za utowaji wa Ruzuku kwa wajasiliamali  yanayoendelea katika viwanja vya mnazi mmoja jijini Dar es Salaam. yaliyoandaliwa na Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF)
 Meneja Masoko wa Benki ya PBZ Seif Sulman akimsikiliza  mmoja wa wateja wake waliotembelea katika banda la benki hiyo wakati wa Moanyesho na sherehe za utowaji wa Ruzuku kwa wajasiliamali  yanayoendelea katika viwanja vya mnazi mmoja jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya Washiriki walioshiriki katika Moanyesho na sherehe za utowaji wa Ruzuku kwa wajasiliamali  wakionyesha bidhaa zao mbalimbali katika maonyesho hayo.

No comments:

Post a Comment