Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dkt. Hadji Mponda (katikati) waliokaa akiwa katika picha ya Pamoja na Bodi ya Wadhamini ya Hospitali ya Taifa ya Muhimbili baada ya kuzindua Bodi hiyo jana katika hafla fupi iliyofanyika Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dkt. Hadji Mponda akisisitiza jambo wakati wa Uzinduzi wa Bodi ya Nne ya Wadhamini ya Hospitali ya Taifa ya Muhimbili iliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Wizara hiyo, wapili kutoka kushoto ni Kaimu Mganga Mkuu Dkt.Donan Mmbando , Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili Profesa Joseph Kuzilwa na Mkurugenzi wa Hositali ya Taifa ya Muhimbili Dkt.Merina Njelekela.
No comments:
Post a Comment