Eneo la visima vya maji safi vilivyochimbwa na Vodacom Tanzania.
Mkazi wa kijiji cha Inyumbu Mkoani Dodoma Bw.Samwel Chindombwe akisalimiana na Mkuu wa Mfuko wa kusaidia jamii wa Vodacom Tanzania(Vodacom Foundation) Yessaya Mwakifulefule,baada ya kukabidhi msaada wa mradi wa maji wenye thamani ya shilingi milioni 40 katika kijiji hicho.
No comments:
Post a Comment