Sunday, May 13, 2012

MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA(TCRA) YA FADHILI MASOMO YA UHANDISI WA TEKNOLOJIA HABARI NA MAWASILIANO KWA WANAFUNZI NANE.

 Mkurugenzi  wa Mamalaka ya Mawasiliano Tanzania Profesa John Nkoma, wa pili   ( kushoto) akiwaonyesha komputa baadhi ya wanafunzi waliopata ufadhili wakusoma uhandisi wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (ICT)  Jumla ya wanafunzi Nane kutoka  Vyuo vya Ardhi, Dodoma na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam,wamenufaika na ufadhili huo  wa kusomeshwa na TCRA  hadi watakapohitimu masomo yao ya Uhandisi Teknolojia ya Habari na Mawasiliano .(Picha na Albart Jackson

03 Mkurugenzi  wa Mamalaka ya Mawasiliano Tanzania Profesa John Nkoma (kulia)  akimkabidhi Muhagachi Chacha,  Laptop, baada ya kupata dhamini wa kusomeshwa na TCRA Masomo ya uhandisi wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (ICT) jumla ya wanafunzi Nane Jumla ya wanafunzi Nane kutoka  Vyuo vya Ardhi, Dodoma na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam,wamenufaika na ufadhili huo  wa kusomeshwa na TCRA  hadi watakapohitimu masomo yao.

 04. Mkurugenzi  wa Mamalaka ya Mawasiliano Tanzania Profesa John Nkoma wa Nne kutoka   kushoto akiwa katika picha ya pamoja  na wanafunzi wa waliofanikiwa kupata ufadhili wa Kusoma masomo ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (ICT) akiwaonyesha matumizi ya Kompyuta  baada ya kuwakabidhi zawadi hiyo. Jumla ya wanafunzi Nane kutoka  Vyuo vya Ardhi, Dodoma na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam,wamenufaika na ufadhili huo  wa kusomeshwa na TCRA  hadi watakapohitimu masomo yao.(Picha na Albart Jackson)


No comments:

Post a Comment