Sunday, May 13, 2012

  1. . Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Mecky Sadiki ashiriki katika Semina ya  Wahariri wa vyombo mbalimbali  vya habari ilyohusu utengenezaji wa anuani katika jiji la Dar es Salaanm,iliyoandaliwa na Mamlaka ya Mawasiliano nchini (TCRA)

03. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Mecky Sadiki (kulia) akiandiwa katika Semina  Wahariri wa vyombo mbalimbali  vya habari waliohudhuria semina ya Anuani katika Mkoa wa Dar es Salaam,iliyoandaliwa na Mamlaka ya Mawasiliano nchini (TCRA) katikati ni Mkurugenzi Mkuu wa Mamalaka hiyo Profesa John Nkoma.(Picha na Albart Jackson).

No comments:

Post a Comment