Friday, May 18, 2012

MAELFU YA WATANZANIA WA UAGA MWILI WA MCHEZAJI WA SIMBA PATRICK MAFISANGO LEO KATIKA VIWANJA VYA TCC CHANG'OMBE DAR ES SALAAM.

 Mwili wa aliyekuwa mchazaji wa simba Patrick Mafisango ukiwa katika jeneza  kabla ya kuagwa.
 Wachezaji wa Timu ya Taifa Taifa Stars wakiwa katika huzuni nzito .
 Mwenyekiti wa Simba akifarijiwa na Mshabiki mkubwa wa Simba Profesa Salungi kulia.
 Jeneza lililohifadhi mwili wa marehemu Mafisango .
Nohadha wa Simba Juma Kaseja akilia kwa uchungu huku akisaidiwa na mmoja wa viongozi wa simba, Maesto.

No comments:

Post a Comment