Tuesday, October 23, 2012

MAANDALIZI YA MKUTANO MKUU WA UVCCM.

Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa CCM, Martine Shigela akizungumza na waandishi wa habari leo mjini Dodoma kuhusu maandalizi ya Mkutano Mkuu wa UVCCM. Kulia ni Cosmas Hinju, Mwenyekiti wa Kamati ya habari na mapambo wa maandalizi ya Mkutano.

No comments:

Post a Comment