Pwaniraha2 News blog

Monday, October 29, 2012

MAONESHO YA WAJASIRIAMALI YAFUNGWA

Waziri wa Nchi Ofsi ya Makamu wa Rais Mazingira Dr.Terezya Huvisa(kulia)mratibu wa vikocoba Tanzania Bw;Aldo Mfinde wakiwa wamesimama kwa ajili yakupokea maandamano ya wajasiliamali vicoba kwenye viwanja vya mnazi mmoja jijini Dar es salaam

Waziri wa Nchi Ofsi ya Makamu wa Rais Mazingira Dr.Terezya Huvisa (katikati)akiwasili kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es salaam wakati wa kufunga maonesho ya wajasiriamali ya kutimiza  miaka kumi ya vicoba wa asasi ya UYACODE (kulia)mratibu wa vikocoba Tanzania Bw;Aldo Mfinde(kushoto)mwna kamati wa habari vicoba Bi;Magreth Mapunda.

Baadhi ya wanawaake wajasiliamali wakiwa katika maandamano wakati wa maadhimisho hayo.

kikundi cha ngoma cha Hisia Group kutoka Temeke jijini Dar es salaam kikitoa burudani  wakati wa maonesho ya wajasirimali yaliofanyika katika viwanja vya mnazi mmoja jijini Dar es salaam. PICHA NA PHILEMON SOLOMON.
Posted by Albart at 3:35 AM
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

About Me

My photo
Albart
View my complete profile

Followers

Blog Archive

Powered by Blogger.