Wednesday, November 6, 2013

IJUMBA ENTERPRISES KUJA NA SULUHISHO LA AJARI ZA PIKIPIKI (BODABODA)

Kampuni ya Ijumba Enterprises kuzindua mradi huu unaomgusa kila mmoja wetu mwanzoni mwa mwezi wa kumi na moja  kwa ushirikiano na Jeshi la Polisi Kitengo cha usalama Barabarani na Chuo cha Usafirishaji cha Taifa(NIT)  Kuzindua mradi wa uitwao SAFER JOURNEY (SAFIRI SALAMA) Mwanzoni mwa mwezi wa 11 / 2013  Wenye lengo la kupunguza Ajali za pikipiki barabarani (Boda Boda)  ambazo si za lazima kwa watumiaji wa pikipiki, Kwa kuongeza ufahamu wa matumizi ya barabara kupitia semina,warsha,vipindi vya Redio na TV.

Pia Ijumba Enterprises imegundua kuwa Boda boda walio wengi  ni chini ya miaka kumi na nane hivyo hawana leseni ya kuendeshea vyombo hivyo vya moto, kupitia mradi huu vituo vyoote vya Bodaboda na uongozi wake lazima visajiliwe na vitambuliwe na mamlaka husika, pia Bodaboda lazima wawe na vitambulisho, Vitambulisho hivyo vitatolewa kwa dereva wa pikipiki mwenye leseni ya kuendeshea pikipiki halali. Kwa pamoja tunaweza kuepusha Ajali za pikipiki ambazo si za lazima.
 Endesha kwa usalama Epusha Ajali. Tunapatikana Face book,Twitter, na Skype. Email: safejourneyproject@gmail.com.

0754 038 158 / 0655 038 158

No comments:

Post a Comment