Wanafunzi wa shule ya msingi Hananasif wakifurahia madawati 100 baada ya kukabidhiwa msaada huo na benki ya KCB Tanzania ,Jumla ya madawati 731 yenye thamani ya shilingi 121 yametolewa kwa shule za msingi 6 na sekondari moja ya oysterbay zote za Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam
Afisa Mahusiano wa benki ya KCB Tanzania Fabian Qwaray akiwasikiliza wanafunzi wa shule ya msingi Hananansif huku wakiwa wamekalia madwati mapya 100 yaliyotolewa na benki hiyo . Jumla ya madawati 731 yenye thamani ya shilingi 121 yametolewa kwa shule za msingi 6 na sekondari moja ya oysterbay zote za Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam.
Afisa Mahusiano wa benki ya KCB Tanzania Fabian Qwaray (kulia )akimkabidhi Mwalimu Mkuu wa shule ya msingi Hananasifu Peter Kimangano msaada wa madwati 100 yaliyotolewa na KCB . . Jumla ya madawati 731 yenye thamani ya shilingi 121 yalitolewa kwa shule za msingi Makumbusho, Mbuyuni, Mkunguni,Hananasifu Msasani B na sekondari ya oysterbay zote za Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam
MKIKAA KWENYE MADAWATI KAMA HIVI MTAKUWA NA UELEWA SANA: Meneja Mambo ya Jamii wa benki ya KCB Tanzania Hellen Siria, akiwafundisha wanafunzi wa darasa la Tatu katika shule ya msingi Hananasifu baada ya benki hiyo kukabidhi msaada wa madwati 100. Jumla ya madawati 731 yenye thamani ya shilingi 121 yalitolewa kwa shule za msingi Makumbusho, Mbuyuni, Mkunguni,Hananasifu Msasani B na sekondari ya oysterbay zote za Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam.
Afisa Mahusiano wa benki ya KCB Tanzania Salome Kessy akiangalia moja ya madaftari ya wanafunzi wa shule ya msingi Mkunguni ,baada ya benki hiyo kukabidhi msaada wa madawati 100 kwa shule hiyo. Jumla ya madawati 731 yenye thamani ya shilingi 121 yalitolewa kwa shule za msingi Makumbusho, Mbuyuni, Mkunguni,Hananasifu Msasani B na sekondari ya oysterbay zote za Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam.
Afisa Mahusiano wa Benki ya Biashara ya KCB Tanzania ,Victoria Kisima na Mwalimu Mkuu wa shule ya Mkunguni Wifrida Lweyemamu wakiangalia wanafunzi wa shule hiyo walivyonavyofurahia msaada wa madawati 100, waliyopewa na benki hiyo . Jumla ya madawati 731 yenye thamani ya shilingi 121 yalitolewa kwa shule za msingi Makumbusho, Mbuyuni, Mkunguni,Hananasifu Msasani B na sekondari ya oysterbay zote za Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam
Maafisa Mahusiano wa benki ya KCB Tanzania kutoka kushoto ni jinsi anatakavyojisomea baada ya kupata dawati la kushoto , Victoria Kisima na kulia ni Hellen Siria wakionyesha na mwanafunzi wa shule ya msingi jinsi watakavyo tumia madawati 100 waliyopewa msaada na benki hiyo. Jumla ya madawati 731 yenye thamani ya shilingi 121 yalitolewa kwa shule za msingi Makumbusho, Mbuyuni, Mkunguni,Hananasifu Msasani B na sekondari ya oysterbay zote za Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam.
Wanafunzi wa shule ya msingi Hananasifu wakifuatilia mchakato wa kukabidhiwa msaada wa madawati 100 na benki ya KCB Tanzania.
Wanafunzi wa shule ya msingi Hananasifu iliyopo eneo la Mkwajuni Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam, wakiwa wamebeba moja ya Dawati kati ya madawati 100 waliyopewa msaada na benki ya KCB Tanzania .Jumla ya madawati 731 yenye thamani ya shilingi 121 yalitolewa kwa shule za msingi Makumbusho, Mbuyuni, Mkunguni,Hananasifu Msasani B na sekondari ya oysterbay zote za Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam
No comments:
Post a Comment