Thursday, October 17, 2013

BENKI YA BIASHARA YA KCB YAKABIDHI MSAADA WA MADAWATI 700 YENYE THAMANI YA SHILINGI MILIONI 121. KWA SHULE 6 ZA MSINGI NA 1 SEKONDARI YA OBAY.ZOTE ZA WILAYA YA KINONDONI.

Mwenyekiti wa Benki ya Biashara ya KCB Tanzania DR.Edmund Mndolwa akisalimiana na mmoja wa wanafuzi wa Shule ya msingi ya  Sinza katika hafala ya kukabidhi msaada wa madawati 700  kwa shule za msingi  6 na sekondari moja  zote za Wilaya ya Kinondoni. Jumla ya shilingi iliyofanyika katika Shule ya msingi Mbuyuni iliyopo Oysterbay jijini Dar es Salaam,kwa shule 6 za msingi na sekondari  ya oysterbay  zote za  Wilaya ya Kinondoni  ,Madwati hayo yamegharimu kiasi cha shilini milioni 121.
 Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Oysterbay Gradius  Mhina akipokea msaada wa madawadi 100 kutoka kwa  Mwenyekiti wa Benki ya Biashara ya KCB Tanzania DR.Edmund Mndolwa, katika hafla ya makabidhiano yaliyofanyika katika shule ya msingi Mbuyuni jijini Dar es Salaam. Jumla ya madawati 700 yenye thamani ya shilingi Milioni 121 yalitolewa kwa shule za msingi 6 na Sekondari 1 ya Osyterbay
Mkuu wa Shule ya msingi ya Mkunguni  iliyopo Wilya ya Kinondoni Winfrida Lweyemamu akikabidhiwa  msaada wa madawadi 100 na  Mwenyekiti wa Benki ya Biashara ya KCB Tanzania DR.Edmund Mndolwa, katika hafla ya makabidhiano yaliyofanyika katika shule ya msingi Mbuyuni jijini Dar es Salaam. Jumla ya madawati 700 yenye thamani ya shilingi Milioni 121 yalitolewa kwa shule za msingi 6 na Sekondari 1 ya Osyterbay.
 Mwenyekiti wa Benki ya Biashara ya KCB Tanzania DR.Edmund Mndolwa akimkabidhi Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Mbuyuni Dorothy Malecela  msaada wa madawati 100 kwa ajiri ya shule hiyo wakati wa hafla ya kukabidhi madawati 700 kwa shule za msingi za Mbuyuni, Mkunguni, Msasani B, Sinza, Makumbusho Hananasif na sekondari ya Oysterbay  zote za wilaya ya kinondoni jijini Dar es Salaam, madawati hayo yamegharimu kiasi cha Shilingi Milioni 121 Zilizotolewa na Benki hiyo
Mwenyekiti wa Benki ya Biashara ya KCB Tanzania DR.Edmund Mndolwa akisalimiana na mmoja wa wanafunzi wa shule ya msingi Sinza  baada ya kukabidhi msaada wa madwati 100 kwa shule hiyo wakati wa hafla iliyofanyika  katika shule ya msingi Mbuyuni jijini Dar es Salaam,  Benki ya KCB imekabidhi msaada wa madawati 700  yenye thamani ya shilingi milioni 121 kwa shule za msingi za Mbuyuni, Mkunguni, Msasani B, Sinza, Makumbusho, Hananasif na sekondari ya Oysterbay  zote za wilaya ya kinondoni jijini Dar es Salaam, kutoka kulia ni  Mkuu wa Idara ya Masoko na Mahusiano wa KCB,Christina Manyenye na Mkuu wa shule ya msingi Sinza Emmanuel Mtakula.
Mwenyekiti wa Benki ya Biashara ya KCB Tanzania DR.Edmund Mndolwa akisalimiana na mmoja wa wanafunzi wa shule ya msingi Msasani   baada ya kukabidhi wa msaada wa madwati 100 kwa shule hiyo wakati wa hafla iliyofanyika  katika shule ya msingi Mbuyuni jijini Dar es Salaam,  Benki ya KCB imekabidhi msaada wa madawati 700  yenye thamani ya shilingi milioni 121 kwa shule za msingi za Mbuyuni, Mkunguni, Msasani B, Sinza, Makumbusho, Hananasif na sekondari ya Oysterbay  zote za wilaya ya kinondoni jijini Dar es Salaam, Kulia ni Mwalimu Mkuu  wa shule hiyo Victoria  Kamuli na Mkuu wa Kitengo cha Uendeshaji na Teknolojia wa KCB Rojas Mdoe.
 
Wanafunzi wa shule ya msingi Hananasif jijini Dar es Salaam, wakishuhudia Mwalimu wao Mkuu Peter Kimangano akikabidhiwa  msaada wa  madawati 100 na  Mwenyekiti wa Benki ya Biashara ya KCB Tanzania DR.Edmund Mndolwa, wakati wa hafla iliyofanyika  katika shule ya msingi Mbuyuni jijini Dar es Salaam,  Benki ya KCB imekabidhi msaada wa madawati 700  yenye thamani ya shilingi milioni 121 kwa shule za msingi za Mbuyuni, Mkunguni, Msasani B, Sinza, Makumbusho, Hananasif na sekondari ya Oysterbay  zote za wilaya ya kinondoni jijini Dar es Salaam,
. Mwenyekiti wa Benki ya Biashara ya KCB Tanzania DR.Edmund Mndolwa akipanda mti   katika viwanja vya shule ya msingi Mbuyuni jijini Dar es Salaam, baada ya kukabidhi msaada wa madawati 700 yenye thamani ya shilingi milioni 121. kwa shule za msingi Mbuyuni, makumbusho, Mkunguni, Hananasif, Msasani B ,Sinza na Shule ya Sekondari ya Oysterbay  (kila shule ilikabihiwa madawati 100)zote za Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam. Kutoka kulia ni Diwani wa Kata ya msasani Christina Kirigiti na Mkuu wa Masoko na Mahusiano wa KCB Chiristina Manyenye

No comments:

Post a Comment