Monday, April 23, 2012

Mama Ntilie akipita juu ya daraja lililowekwa katika mfereji unaopitisha maji machafu pembeni mwa barabara ya Bagamoyo karibu na kituo cha mabasi cha Mwenge, jijini Dar es Salaam.
Mrs .Catrece akiwa amejipumzisha kwenye kochi lake huku akitafakati zaidi.

No comments:

Post a Comment