Tuesday, April 10, 2012

UMATI WA WATU WAJITOKEZA KUUAGA MWILI WA MSANII WA FILAM TANZANIA STEVEN KANUMBA .

Kamati maalumu akishusha jeneza la marehemu steven Kanumba katika sehemu maalumu ya kuagia.
Baadhi ya ndugu wa marehemu wakiwa na picha ya Steven Kanumba wakati walipowasili katika viwanja vya Leader Club ambapo shughuli zote za kuaga na kutoa salaam mbalimbali zilifanyika hapo.
Jukwaa maalumu la kuagia mwili wa Msanii Steven Kanumba.
Gari lililobeba mwili wa marehemu Steven Kanumba likiwasili katika Viwanja vya Leaders.

Viongozi mbalimbali wa nchi ,wakiwa katika viwanja vya Leaders kuanga mwili wa Steven Kanumba,kutoka kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Mexcedeck, Waziri wa Ushirikiano wa Kimataifa Benard Membe,Waziri wa Nyumba ,Ardhi na Makazi Prof. Anna Tibaijuka , Mbunge wa Kinondoni Idd Azan.

No comments:

Post a Comment